neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 576
- 843
Habari wana jamii!!!
Leo nimeota ndoto tofauti kidogo na inasikitisha!!!
Nimeota mkuu wa kaya amekuja kwangu!!,tunatembe tembe tembea akapokea sim,alipopokea sim aka simama ghafla....then akadunguliwa.
Akawa assassinated kwangu!!
Nikaogopa saaana!!!,nikaamka.me na jamaa hatuna mazingira ya kuonana kwenye maisha ya kawaida!!.japo tumekutana kama twice!
Msaada nn itakuwa maana yake!!
Neo
Leo nimeota ndoto tofauti kidogo na inasikitisha!!!
Nimeota mkuu wa kaya amekuja kwangu!!,tunatembe tembe tembea akapokea sim,alipopokea sim aka simama ghafla....then akadunguliwa.
Akawa assassinated kwangu!!
Nikaogopa saaana!!!,nikaamka.me na jamaa hatuna mazingira ya kuonana kwenye maisha ya kawaida!!.japo tumekutana kama twice!
Msaada nn itakuwa maana yake!!
Neo