Msaada Tafadhari

Msaada Tafadhari

Joined
Nov 22, 2014
Posts
74
Reaction score
30
Naomba kwa anaefahamu dawa ya kuua wadudu wanaopekecha kenchi mbao jamaa yangu kapaua nyumba yake usiku kuna wadudu wanapekecha mbao atumie dawa gani kuwadhibiti?.asanteni
 
Naomba kwa anaefahamu dawa ya kuua wadudu wanaopekecha kenchi mbao jamaa yangu kapaua nyumba yake usiku kuna wadudu wanapekecha mbao atumie dawa gani kuwadhibiti?.asanteni
mi najiulizaga mwenzenu nakosa jibu,,
Ivi Mungu wetu aliumba hao wadudu, pamoja na wale mchwa, wana faida gani aswa,, kwa upande wa Dawa changanya dudu killer na oil chafu upake
 
Hivi, hili linaweza kutokea hata kwa zile mbao zilizowekewa dawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom