Kama mada isemavyo, naomba msaada wa tiba ya 'Ingrown toenails'.
Ni kwamba kucha za vidole gumba vya miguuni zikikua huwa zina kata nyama za kidoleni kadri zinavyorefuka hasa upande wa ndani ya kidole.
Nilijaribu kuziacha zirefuke ili zipite juu ya nyama ya kidole lakini hali ikawa mbaya kwa maumivu hasa nikivaa viatu vya kufunika. Na viatu nivaavyo ni vile vipana na sio vya kubana na vyembamba mbele.
Naishi Dar es salaam
Ni kwamba kucha za vidole gumba vya miguuni zikikua huwa zina kata nyama za kidoleni kadri zinavyorefuka hasa upande wa ndani ya kidole.
Nilijaribu kuziacha zirefuke ili zipite juu ya nyama ya kidole lakini hali ikawa mbaya kwa maumivu hasa nikivaa viatu vya kufunika. Na viatu nivaavyo ni vile vipana na sio vya kubana na vyembamba mbele.
Naishi Dar es salaam