Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,323
Habari ndugu zangu. Naomba mwenye uelewe wa kunisaidia ktk hili jambo. Je unaweza kuwa umemalza digrii, ukaomba kusoma tena kozi nyingne kwa ngazi ya diploma au certificate kwa vyuo vya serikali ukakubaliwa?