Bila shaka mtakuwa mpo wazima kuna tatizo linanitatza sana nimeleta kwenu mnipe mawazo cha kufanya.
Nina girlfriend wangu tupo muda mrefu sana na nina malengo, baada ya kumaliza chuo alikuwa bado hajapata kazi, mambo yake yote nilikua namtimizia, kwa bahati mbaya simu yake ilialibika ghafla akawa hana simu ilibidi nimpe simu moja ya kawaida ya nokia mimi nikabakiwa na smart phone, akaomba nimununulie simu, nikamwambia nitakununulia nipe muda sasa mambo yameingiliana, ikapita kama miezi miwil hivi, akanikumbusha nikamwambie nivumilie.
Akafanikiwa kupata kazi katika kampuni fulani, akafanya kazi kama mwezi, akanunua simu bila kuniambia, akaomba tukutane sehemu, nikafanya hivyo baada ya maongezi, akanionyesha simu aliyonunua nikashangaa sana kwa nilimuliza simu kama hiyo nilitaka kukununulia ulisema hiyo simu huwezi kutumia, akasema sinajinsi nitatumia kwa muda.
Tatizo likaanza, nikamuuliza kwanini hukunipa taarifa akasema nimetumia hela yangu, kwanza nimekuomba muda mrefu ununulie umeshindwa nikupe taarifa ya nini maneno yote hayo alinipigia simu wakati yupo kazini kwake kwangu mimi niliona kama dharau kwangu kama aliona hilo kwanini asinitafute manually, baada hapo tuligombana kwenye simu tukiwa tunaongea, mpaka sasa tuna week hatujaongea.
Nahitaji mawazo yenu.
Nina girlfriend wangu tupo muda mrefu sana na nina malengo, baada ya kumaliza chuo alikuwa bado hajapata kazi, mambo yake yote nilikua namtimizia, kwa bahati mbaya simu yake ilialibika ghafla akawa hana simu ilibidi nimpe simu moja ya kawaida ya nokia mimi nikabakiwa na smart phone, akaomba nimununulie simu, nikamwambia nitakununulia nipe muda sasa mambo yameingiliana, ikapita kama miezi miwil hivi, akanikumbusha nikamwambie nivumilie.
Akafanikiwa kupata kazi katika kampuni fulani, akafanya kazi kama mwezi, akanunua simu bila kuniambia, akaomba tukutane sehemu, nikafanya hivyo baada ya maongezi, akanionyesha simu aliyonunua nikashangaa sana kwa nilimuliza simu kama hiyo nilitaka kukununulia ulisema hiyo simu huwezi kutumia, akasema sinajinsi nitatumia kwa muda.
Tatizo likaanza, nikamuuliza kwanini hukunipa taarifa akasema nimetumia hela yangu, kwanza nimekuomba muda mrefu ununulie umeshindwa nikupe taarifa ya nini maneno yote hayo alinipigia simu wakati yupo kazini kwake kwangu mimi niliona kama dharau kwangu kama aliona hilo kwanini asinitafute manually, baada hapo tuligombana kwenye simu tukiwa tunaongea, mpaka sasa tuna week hatujaongea.
Nahitaji mawazo yenu.