Wana Jukwaa,my swit wangu anadai mm napiga sana papuchi yake,na huwa anapiga mpaka bao tatu kwa wakati mmoja,sasa weekend hii tulikuwa pamoja tangu asubuhi,tumekula vizuri tu,then akaomba gemu,sasa balaa yeye alipopata bao la kwanza hataki tena,wakati huo mm ndio kwanza mtalimbo umesimama kama singe,na wala sina dalili,yeye katoka nje anapiga story na shosti zake.
Sasa hapa najiuliza nifanyeje?maana yeye anaridhika vizuri tu,maana huwa namuandaa inavyopaswa na shughuli pia nampa ya kutosha,na kuna kipindi huwa anapiga mpaka bao nne,baada ya hapo huwa hawezi hata kutembea kwa uchovu,lakini mimi bado ninakuwa niko fresh na sijapaata hata bao moja.
Sasa najiuliza nimtafutie mwenzake amsaidie au nifanyeje?
NOTE:SITUMII MADAWA ILA NAKULA VIZURI NA MAZOEZI YA KUTOSHA HUWA NAFANYA.