Hakuna program ya kuhack Facebook, jipange upya.
untokea mtaa gani wewe? watu wana hack hadi mwezi unakua na mwanga kama jua we unasema facebook ya bwana MARKNarudia hakuna, wanaodai wanazo wanawatarget vilaza wawaingizie mavirus. Kungekuwa na software unayoweza kuigoogle kijingajinga Facebook wangekuwa wameshajua na kuziba hilo pengo, wana department nzima zinadeal na security kama unataka kuhack facebook itabidi utafute vulnerability mwenyewe kitu ambacho wachache sana wanaweza kufanya.
untokea mtaa gani wewe? watu wana hack hadi mwezi unakua na mwanga kama jua we unasema facebook ya bwana MARK
inaandika iviiTvembed | Live events sports
cheki apo utakula live mechi zote baba ata sasa kama kuna machi inayoendelea utaona mkuu
Mkuu tumeisha yajadili sana haya mambo humu ndani, hebu pitia nyuzi hizi hapa chini uone wataalamu wanasemaje kuhusu hilinifundishe sasa kaka ndio nachoitaji
mkuu unatumia pentium 2 nini?? mimi naangaliaga mkuu sasa wewe iko nashindwaje banaainaandika ivii
The requested resource could not be loaded because the server returned an error:
500 Internal Server Error (?). Return to index.