JONASON
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 461
- 706
- Thread starter
- #21
Sawa hakuna shidaUmesema ni mtu wa dini lakini sasa hivi unamtafuta mganga na feemason ili upate utajiri,kwahiyo huyo Mungu wako uliekuwa ukimuamini haumtaki wala kumuhitaji tena.Kama ni Corona wewe ya kwako imeingia kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
