Msaada tafadhali naomba niwe mkweli

Msaada tafadhali naomba niwe mkweli

Acha ujinga wewe. Nenda Njombe ukalime parachichi zile ambazo zinazaa throughout the year. Panda miche mia tu. Thank me after 30 months
Dahh!! Sasa huo ujinga unakujaje mkuu !! Na huko Njombe sijawahi hata kufika ila naweza kutafuta nauli nikaenda ila ardhi ya kupandia nitahama nayo hembu fafanua frshh sio kila mtu wakishua
 
Sio Wa huko Mimi Niko mkoan nilienda kwa kufuata huduma ya maombezi
fanya kazi hata kubeba zege acha kupoteza muda na pesa kuzunguka kwenye maombi, hao wenyewe wanaokuombea wanahitaji hiyo hela yako. JIONGEZE
 
Dahh!! Sasa huo ujinga unakujaje mkuu !! Na huko Njombe sijawahi hata kufika ila naweza kutafuta nauli nikaenda ila ardhi ya kupandia nitahama nayo hembu fafanua frshh sio kila mtu wakishua
Naona sasa unaanza kuwa binadamu. Itaendelea nikimaliza mambo yangu.....kuna baridi sana huku Njombe muda huu
 
Tatizo lako kubwa ni kuwaza kuajiriwa? Ukweli mchungu Tajiri hawezi kukusaidia wewe ndio unatakiwa umwoneshe kitu gani unaweza kumfanyia kisha avutiwe awe karibu na wewe kisha akupe dili/pesa Right!
Wangapi wapo hapo mtaani kwako hawana ajira , hawajui kingereza na wanafamilia na wanategemewa na ndugu kwa nini wewe ushindwe? Akili yako na mategemeo yako hasi na hasi

Maisha ndivo yalivyo ukiona wewe unakosa jua mwenzio ndio kapata
Endeleza tu harakati ila usitegemee huruma ama msaada kuja kwako kirahisi kisa una shahada. Wewe taifa linakutegemea sana kuwa mfano wa kuigwa kuwa mwanaharakati ikiwezekana wewe ndio uwe mchungaji kwanini uende kwa uyo mwamposa kupeleka sadaka?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna utajiri wa bure, utajiri mwingi ni ule wa kutoa kafara ya wazazi, watoto au mke, na hatima yake ni kuja kuishia mahali pabaya.
 
Dah!pole sana mkuu
Maisha huja na changamoto nyingi,usikate tamaa
Mungu akufanyie wepesi
 
Back
Top Bottom