Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,240
- 22,630
Naomba kujua jinsi ya kuunda Wi-Fi yangu asante
Simu si ndo hii mkuu??.. naomba maelezo kuhusu hiyo Wi-Fi router ni software au??Vifaa unavyo?
Simu au WI Fi router?
WI FI router hiki ni kifaa kinaweka kikawa kinatumia hata LAINI YA SIMU unayoitaka wewe.Simu si ndo hii mkuu??.. naomba maelezo kuhusu hiyo Wi-Fi router ni software au??
Soma hiyooo #6ngoja waje nami nahitaji kujifunza.
asante sana mkuuWI FI router hiki ni kifaa kinaweka kikawa kinatumia hata LAINI YA SIMU unayoitaka wewe.
Mfano nyumbni kwako una watu kama 7 wanatumia Smartphone.
Ukinunua hiki kifaa unaweza hata kujiunga na kifurusi tuseme cha tsh 70,000 ukapata mfano GB200 kwa miezi mitatu.Je utaweza kuzimaliza pekee yako.
Utaichukua ile laini utaiweka kwenye WI FI Router then utaiwasha hiyo wi fi kisha uta connect na simu yako na kama hao watu unaokaa nao wanataka kutumia internet ya bure ndani ya nyumba unayokaa wewe unaweza ukawaunganisha pia.
KAMA HAUJANIELEWA NAHISI KUNA WATU WATAKUJA KUKUELEKEZA ZAIDI MAANA MIMI SIO MJUZI SANA WA WI FI
Ahsante mkuu nimeshaelewa.
Umenielewa mkweli mkuu au nimshtue Chief-Mkwawa awaelekeze tena?asante sana mkuu
Wewe ndo unataka ku share internet yako na kitu/mtu mwingine??Naomba kujua jinsi ya kuunda Wi-Fi yangu asante
Kivipi mkuuWewe ndo unataka ku share internet yako na kitu/mtu mwingine??
mleta tuu dahUmenielewa mkweli mkuu au nimshtue Chief-Mkwawa awaelekeze tena?
Mtandao gani wenye ofa hiyo ya elfu 70 gb 200 kwa miezi 3?WI FI router hiki ni kifaa kinaweka kikawa kinatumia hata LAINI YA SIMU unayoitaka wewe.
Mfano nyumbni kwako una watu kama 7 wanatumia Smartphone.
Ukinunua hiki kifaa unaweza hata kujiunga na kifurusi tuseme cha tsh 70,000 ukapata mfano GB200 kwa miezi mitatu.Je utaweza kuzimaliza pekee yako.
Utaichukua ile laini utaiweka kwenye WI FI Router then utaiwasha hiyo wi fi kisha uta connect na simu yako na kama hao watu unaokaa nao wanataka kutumia internet ya bure ndani ya nyumba unayokaa wewe unaweza ukawaunganisha pia.
KAMA HAUJANIELEWA NAHISI KUNA WATU WATAKUJA KUKUELEKEZA ZAIDI MAANA MIMI SIO MJUZI SANA WA WI FI
Nasubiri majibuMtandao gani wenye ofa hiyo ya elfu 70 gb 200 kwa miezi 3?
Huo ni mfano wakuuMtandao gani wenye ofa hiyo ya elfu 70 gb 200 kwa miezi 3?
Mkuu tafadhali soma tena pale nimesema KWA MFANO sijasema mtandao fulani unatoa GB 200.Mtandao gani wenye ofa hiyo ya elfu 70 gb 200 kwa miezi 3?
Wewe jamaa unaonekana mvivu kusoma wewe nimetolea kwa mfano pale.Nasubiri majibu
bei gani hiki kifaaa aiseNjoo PM nikuuzie WiFi Router.
View attachment 1007342
Laki na thelathini, lakini kimeshauzwa.bei gani hiki kifaaa aise