Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Eneo unaloishi ulidharaulika,maana yake hukuwa na nyumba ya maana pia
Kabla ya kukuelekeza sehemu ya kukodi helcopter tuma kwanza pic ya mjengo wa maana unaomiliki baada ya kupiga bingo
Kila kitu kina side effect zake.
Ukiwa masikini kuna tatizo lake.
Na ukipata pesa za mkupuku kama hivyo zinakurusha akili.
Nakushauri onana na mwanasaikolojia haraka sana,ungekuwa Dodoma ningekuambia uende pale Mirembe wanasaikolojia wapo wengi sana.
Ni kwamba una ugonjwa ila hujagundua unaumwa nini.Kweli pesa umepata lakini zimekufanya upate ugonjwa unaoitwa kitaalam Moneyphobia ambapo wewe unaona upo sawa lakini kiuandishi tu unahitaji tiba haraka sana.
Ni ushauri tu.
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Kila kitu kina side effect zake.
Ukiwa masikini kuna tatizo lake.
Na ukipata pesa za mkupuku kama hivyo zinakurusha akili.
Nakushauri onana na mwanasaikolojia haraka sana,ungekuwa Dodoma ningekuambia uende pale Mirembe wanasaikolojia wapo wengi sana.
Ni kwamba una ugonjwa ila hujagundua unaumwa nini.Kweli pesa umepata lakini zimekufanya upate ugonjwa unaoitwa kitaalam Moneyphobia ambapo wewe unaona upo sawa lakini kiuandishi tu unahitaji tiba haraka sana.
Ni ushauri tu.
Mkuu hii ndoto ukiitolea sadaka nzuri inaweza kuja kutimia kabla hujafa.
Usikate tamaa.
Wanajamvi,
Baada ya mihangaiko ya muda mrefu ya maisha hatimae nimebahatika kupata pesa nyingi sana kupitia machimbo ya dhahabu ambayo ni zaidi ya miaka mitano nahangaika kuchimba,naposema nimepata pesa ni pesa kweli si mchezo.
Nina mke wangu aliyenivumilia miaka mingi sana na hajawahi kunitenda pamoja na shida zote,sasa eneo ninaloishi la Msalala mkoani Geita nilidharaulika sana na watu.
Nataka kufunga ndoa ikifuatiwa na sherehe ya adabu ambapo nimetenga milioni 30 ili watu wale na kunywa bure,nataka ktk ndoa yangu niwasili eneo la sherehe na helkopta ili watu waniheshimu maana walinidharau sana.
Anayejua helkopta ilipo na inakodishwa kwa sh ngapi kutoka hapa Mwanza hadi Msalala tafadhali anisaidie ili niwaone wahusika na helkopta yenyewe.
TAHADHARI: Matapeli kaeni mbali msidhani mimi ni mshamba wa kuweza kunitapeli,nipo makini sana kuliko kawaida.
Kwa sasa nipo Kampala,natarajia kuwa Mwanza Mjini Jumatatu ya tarehe 4.
Sitaki dharau ktk kunisaidia kupata hiyo helkopta,kama huwezi pita kimya tafadhali sana.
Duuuh hiyo bei ya 130m huwezi pata nyumba capripoint itakua umevuta y tabora