Msaada tafadhali: Mabati ya IT5 Kanda ya Ziwa

Msaada tafadhali: Mabati ya IT5 Kanda ya Ziwa

TheBuilder

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
237
Reaction score
212
Habari wadau,

Rejea kichwa cha thread kama kinavyojieleza,

Mwezi wa sita kuna kazi ya ujenzi nategemea kuianza pale Geita, kwa kuwa mimi si mzoefu sana maeneo ya Kanda ya Ziwa, ningependa kufahamu kuhusu upatikanaji wa vifaa vya ujenzi hasa mabati ya IT5 na bei zake, kama zitakuwa ghali ninunue hapa Dar nivisafirishe kwenda Geita.
 
Nenda pale Tegeta, karibu na KIBO COMPLEX ulizia kiwanda cha ANDO watakupa maelekezo ya kiwanda chao kilichopo Mwanza, ukikwama nione nikupe namba ya mkurugenzi
 
Back
Top Bottom