Msaada tafadhali: Jinsi ya kupunguza ukubwa wa makalio kwa mwanaume

The pexie, Vaa nguo za kupimwa na fundi pia atakushauri mishono.Nime who waona wanawake wanene balaa hata hawapendezi,ila designer wakiwashonea nguo vizuri huvutia na umbo uwa nzuri sembuse wanaume.
 
hiyo inaleta gyno ni side effect ya izo dawa akitumia mwanaume, cheki usimfanye jamaa akaota na mtindi hapo utakua ushamwaribia kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli alale chali sakafuni na mkeka mara nyingi zaidi kuliko kitandani,asijali maumivu
 
Thanks Mkuu
Hapa nlipo natoka kiwanjani kula tizi
 
Mbio za jeshi za asubuhi na jion ulikuwa huangushii kweli??
Sababu riadha inakata mno mafuta hasa sehem za mapaja,makalio nk
Suluhisho la rahisi ni jogging,amua kweli kweli.
 
Ni kula nyabe mara tatu kwa siku, yaani asubuhi, mchana na jioni kila siku mpaka ufikie umri wa kustaafu, mbona ilo wesere litakuwa flat kama sinia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…