Nilichaguliwa first selection ya form 5 mchepuo wa PCB Mwaka huu, lakini nikaumwa sana sikuweza kwenda hivi naongea nipo nyumbani tu, swali langu je nikiomba shule mwakani naweza pata nafasi kwa shule za serikali?
Na pia naogopa kwenda shule ya advance private kwamba naweza kukosa mkopo pindi nitakapomaliza A-LEVEL msaada tafadhali kwa hili wakuu!!!!
Kijana sema ukwel ww uliapply diploma za afya hawakukuchagua ukatupia Uzi mmoja gumu ukiomba tukutajie shule za private za advance tukakupa Leo unasema ulikuwa unaumwa kuwa mkwel kusingizia malazi wanaweza kukupata ukaugua kwel yaaan mwaka mzima tena hoi kabxaa but siombei hayo ngja nikupe michango wangu Wa mawazo ni hivi kwa serikal hapo sahau tena maana first selection kama ulichaguliwa kwel ukaacha kwenda bas hapo nafas yako ilijazwa na Wa second selection kwa mwakani madogo wanapiga paper ndo watajaza nafas hizo ww huna chako tena na kuhusu boom chuoni hamna Nouma bhana ww piga fresh paper lako la PCB utapewa hata 30% sio mbaya maana O lever private A lever private halali tu mpewe kidg maana mnapesa za kujikimu nyie