ERNEST TZ
Senior Member
- Aug 11, 2017
- 115
- 14
Nilichaguliwa first selection ya form 5 mchepuo wa PCB Mwaka huu, lakini nikaumwa sana sikuweza kwenda hivi naongea nipo nyumbani tu, swali langu je nikiomba shule mwakani naweza pata nafasi kwa shule za serikali?
Na pia naogopa kwenda shule ya advance private kwamba naweza kukosa mkopo pindi nitakapomaliza A-LEVEL msaada tafadhali kwa hili wakuu!!!!
Na pia naogopa kwenda shule ya advance private kwamba naweza kukosa mkopo pindi nitakapomaliza A-LEVEL msaada tafadhali kwa hili wakuu!!!!