dr. ni mimi ata usijariHaya ila naona aibu kumtolea doctor ziwa
Mmmmmh Fibroadenosis hiyo, nenda hospital kafanyiwe vipimo vya Breast haraka sanaHabari za Eid wapendwa,
Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?
Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........
Nawengine wotee ila kama wewe ni ke
Hahaa unaweza kuomba dokta wa kike, pale Regency Hospital wapo kama mfuko wako upo vizuri au bima au kampuni ikulipie. Mimi naomba nikusindikize kwa dokta kama mwanaume usikae nae peke yake sababu waonesha woga wa naniliu.Haya ila naona aibu kumtolea doctor ziwa
Matiti ninayo ila hayatoi tu maziwaNimewabagua kwasabab hamna matiti,
Nimewabagua kwasabab hamna matiti,
Ndiyo yaume Siku zote!??? Yani kuna mda yanawashaa kweliiii
KAMA SIO MIBA BASI WAHI HOSPITAL
SAWA........haswa miba ya michongoma