Msaada tafadhali, anataka kuniroga

Msaada tafadhali, anataka kuniroga

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,553
Reaction score
41,467
Jana jirani yangu mwanamke kaniita ndani kwake nimrekebishie TV yake nikaenda kweli nikamrekebishia nimemaliza nataka kuondoka akanizuia akaachia khanga yake huku ndani hajavaa kitu na baridi hili tukaanza kuburudika wakati tunaburudika mumewe akagonga mlango haraka haraka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango mwanaume akapitiliza moja kwa moja chooni, nikavaa fasta nikakimbia kumbe niliisahau boxer yangu kwa kuwa kwetu uswazi leo naamka naona ile boxer kaianika na tangazo juu "mwenye hii boxer ajitokeze asipojitokeza baada ya siku tatu namroga" hapa sina raha kabisa na baadhi ya marafiki wangu wanaijua kwa kuwa navaaga mlegezo sijui nijitokeze au ningoje kurogwa

nb haka kastori nilikatunga tu
 
dah nimeamini njia kuu kwako kwa mwenzako mchepuko Subiri ulogwe tu.
 
Hakika na urogwe tu, tena anakuchelewesha mbona? Huna faida!
 
Jana jirani yangu mwanamke
kaniita ndani kwake
nimrekebishie tv yake
nikaenda kweli
nikamrekebishia nimemaliza
nataka kuondoka akanizuia
akaachia khanga yake huku
ndani hajavaa kitu na baridi hili
tukaanza kuburudika wakati
tunaburudika mumewe
akagonga mlango haraka
haraka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango
mwanaume akapitiliza moja
kwa moja chooni nikavaa fasta
nikakimbia kumbe niliisahau
boxer yangu kwa kuwa kwetu
uswazi leo naamka naona ile
boxer kaianika na tangazo juu
"mwenye hii boxer ajitokeze
asipojitokeza baada ya siku
tatu namroga" hapa sina raha
kabisa na baadhi ya marafiki
wangu wanaijua kwa kuwa
navaaga mlegezo sijui
nijitokeze au ningoje kurogwa

mimi nakuombea ufe tu iwe fundisho
 
wewe sema baridi ndo lilokupeleka huko na sio TV sasa subiri urogwe na ukijitokeza lazima ale 0712
 
Toa namba ya huyo jamaa watu wamuelekeze kwa waganga wazuri ili uwe mfano
 
Jana jirani yangu mwanamkekaniita ndani kwakenimrekebishie tv yakenikaenda kwelinikamrekebishia nimemalizanataka kuondoka akanizuiaakaachia khanga yake hukundani hajavaa kitu na baridi hilitukaanza kuburudika wakatitunaburudika mumeweakagonga mlango harakaharaka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango mwanaume akapitiliza mojakwa moja chooni nikavaa fastanikakimbia kumbe niliisahauboxer yangu kwa kuwa kwetuuswazi leo naamka naona ileboxer kaianika na tangazo juu"mwenye hii boxer ajitokezeasipojitokeza baada ya sikutatu namroga" hapa sina rahakabisa na baadhi ya marafikiwangu wanaijua kwa kuwanavaaga mlegezo sijuinijitokeze au ningoje kurogwa
Akuronge tu ukome kuto ---watu
 
Bora urogwe tena akuendee Tanga kwa msisi ufe haraka coz huna faida.
 
Back
Top Bottom