Msaada: Subaru impreza imewasha taa ya check engine

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,140
27,100
Wakuu sijawah pata hili tatizo kabla, nahisi kuvurugwa kabisa hapa, ni hivi leo kuna mahali nilikuwa napandisha kilima, sasa mvua za leo na huu utelezi ilinilazimu kukanyaga mafuta kwa nguvu, kilichotokea nilikwamba mbele na gari ikazima, nilivyorudi nyuma na kuiwasha tena, taa ya check engine haikutoka tena.

Kwa wazoefu, naomba way foward kipi cha kufanya kabla sijawapelekea wataalamu.

NB; Gari inatembea kama kawaida sijanotice mabadiliko yeyote.

Asanteni
 
Wakuu sijawah pata hili tatizo kabla, nahisi kuvurugwa kabisa hapa, ni hivi leo kuna mahali nilikuwa napandisha kilima, sasa mvua za leo na huu utelezi ilinilazimu kukanyaga mafuta kwa nguvu, kilichotokea nilikwamba mbele na gari ikazima, nilivyorudi nyuma na kuiwasha tena, taa ya check engine haikutoka tena.

Kwa wazoefu, naomba way foward kipi cha kufanya kabla sijawapelekea wataalamu.

NB; Gari inatembea kama kawaida sijanotice mabadiliko yeyote.

Asanteni

Check engine huonesha kuwa kuna tatizo kwenye engine yako. Pia kwa gari ambazo engine na gearbox zinatumia control box moja basi check engine ikiwaka maana yake huenda kuna tatizo kwenye engine au gearbox.

Hivyo kusema moja kwa moja kwamba shida ni kitu fulani inaweza kuwa ngumu.

Kama upo Dar karibu tupime, as long as check engine iliwaka basi lazima ilisave code kwenye control box.

Nicheck kwa 0621 221 606
 
Check engine huonesha kuwa kuna tatizo kwenye engine yako. Pia kwa gari ambazo engine na gearbox zinatumia control box moja basi check engine ikiwaka maana yake huenda kuna tatizo kwenye engine au gearbox.

Hivyo kusema moja kwa moja kwamba shida ni kitu fulani inaweza kuwa ngumu.

Kama upo Dar karibu tupime, as long as check engine iliwaka basi lazima ilisave code kwenye control box.

Nicheck kwa 0621 221 606

Asante mkuu, nilisolve nasave namba yako next time nitakucheki!!
 
Ilivyozima ghafla ilipoteza kumbukumbu tu, fundi alichomoa terminals za betri baada ya dakika kadhaa akazirudisha..tulipowasha check engine ikazima.
Haijawaka tena!
Aisee... Very simple solution. Fundi alikucharge shingapi?
 
Back
Top Bottom