Msaada Soil Testing for Agriculture.

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,020
Wakuu naomba mnifahamishe sehemu gani kwa hapa Dar ambayo nitaweza kufanya vipimo vya udongo wa shamba langu tayari kwa ajili ya kilimo.
Msaada wenu tafadhali.
 
nenda wizara ya maji wana kitengo cha upimaji udongo wako ubungo opposite na stand ya zamani ya daladala ya ubungo
 
Wakuu naomba mnifahamishe sehemu gani kwa hapa Dar ambayo nitaweza kufanya vipimo vya udongo wa shamba langu tayari kwa ajili ya kilimo.
Msaada wenu tafadhali.
Nenda SUA Morogoro kitengo cha sayansi ya udongo!
 
Ukitaka majibu ya uhakika na kwa haraka zaidi peleka Kenya.Hawa wa kwetu bana longo longo nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…