Msaada: Sioni salary slip ya mwezi huu

Msaada: Sioni salary slip ya mwezi huu

Ok,mwaka Jana 2018 mshahara wa mwezi may nilikosa hivihvi tatizo lilikuwa vyeti vya secondary,nilipowasilisha mshahara ukawa unaingia kwenye akaunti kawaida ila huo mshahara wa mwezi may mpaka leo hawakutuma,Sasa Tena mwezi huu imenishitua imenikumbusha ya mwaka Jana,ndo nimeanza kufikiria Mambo ya vyeti Tena lakini mwaka Jana tatizo liliisha baada ya kuwasilisha vyeti,ndo nilikuwa naumiza kichwa imekuwaje Tena mwezi huu,ngoja tuvumilie hiyo tuone
Ulienda halmashauri kujaza fomu ya kudai mshahara? (Area)
 
Kupata salary slip mpaka tarehe 30/31 yaani ukiona ni tarehe moja basi angalia salary slip ya mweI uliopita ndipo utapata
 
kwa kifupi ni Kitu kimoja! Salary slip ndio hiyo hiyo ID ya wajariamali wadogo sema hizi huwa zinategemeana na namna Kagere anaweza kuisaidia Msongo kama isingekuwa CAG ndio leo unaskia Sri Lanka
Wenye salary slip zao,wengine ata picha ya salary slip hatuijui,Hivi inafanana na vile vitambulisho vyetu vya 20,000/=
 
kwa kifupi ni Kitu kimoja! Salary slip ndio hiyo hiyo ID ya wajariamali wadogo sema hizi huwa zinategemeana na namna Kagere anaweza kuisaidia Msongo kama isingekuwa CAG ndio leo unaskia Sri Lanka
Duh, kumbe Kiswahili ni kigumu hivi! Nimetoka kapa.
 
Back
Top Bottom