Msaada: Sioni salary slip ya mwezi huu

Msaada: Sioni salary slip ya mwezi huu

Ok,mwaka Jana 2018 mshahara wa mwezi may nilikosa hivihvi tatizo lilikuwa vyeti vya secondary,nilipowasilisha mshahara ukawa unaingia kwenye akaunti kawaida ila huo mshahara wa mwezi may mpaka leo hawakutuma,Sasa Tena mwezi huu imenishitua imenikumbusha ya mwaka Jana,ndo nimeanza kufikiria Mambo ya vyeti Tena lakini mwaka Jana tatizo liliisha baada ya kuwasilisha vyeti,ndo nilikuwa naumiza kichwa imekuwaje Tena mwezi huu,ngoja tuvumilie hiyo tuone
Huu ni mshahara wa April ndugu siyo Mei, pia hata kwa tuliokwisha pokea mshahara salary slip bado hazijawekwa huko portal.
 
Tatizo ni kwamba unadaiwa pasipo kujua nini unachodaiwa...

Kama mshahara umepata shukuru Mungu achana na salary slip kwa sasa...


Cc: mahondaw
 
Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Salary slip had TAREHE 30
Kuhusu mishahara Kuna halmashauri kadhaa hawajapata mshahara sawia na wengine inaonekana system Ina matatz
 
kwa kawaida salary slips huwa zinachelewa Kutoka Kiasi baada ya ule Mwezi wa Mshahara ugeuke! Mf salary slip ya April, itatoka May!

kingine nna uhakika nacho... Salary slips zimachelewa watumishiportal kuliko Kule MOF salaryportal
Exactly
 
Ok,mwaka Jana 2018 mshahara wa mwezi may nilikosa hivihvi tatizo lilikuwa vyeti vya secondary,nilipowasilisha mshahara ukawa unaingia kwenye akaunti kawaida ila huo mshahara wa mwezi may mpaka leo hawakutuma,Sasa Tena mwezi huu imenishitua imenikumbusha ya mwaka Jana,ndo nimeanza kufikiria Mambo ya vyeti Tena lakini mwaka Jana tatizo liliisha baada ya kuwasilisha vyeti,ndo nilikuwa naumiza kichwa imekuwaje Tena mwezi huu,ngoja tuvumilie hiyo tuone
Huo mshahara ulioukosa wa mwaka Jana lazma ujaze fomu ya areas hawalipagi bila vielelezo mkuu
Mm nimefanya kazi halmashauri miaka mingi naelewa mifumo
 
Labda mambo ya Long weekend...benki zinafunguliwa kesho
 
Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Ndugu yangu hebu tuliza mzuka kwanza. Hela si umepata? Umesahau kuwa kumekuwa na kipindi kirefu cha sikukuu? Nani yuko hazina(ofisini) tangu ijumaa hadi leo jumatatu kupost hizo salary slips? Nina uhakika ndani ya siku mbili baada ya sikukuu kwisha utaiona mkuu.
 
Mwenyewe Leo nimehangaika Sana kudaunilod salary slip utumishi portal inakataa
Ndugu yangu hebu tuliza mzuka kwanza. Hela si umepata? Umesahau kuwa kumekuwa na kipindi kirefu cha sikukuu? Nani yuko hazina(ofisini) tangu ijumaa hadi leo jumatatu kupost hizo salary slips? Nina uhakika ndani ya siku mbili baada ya sikukuu kwisha utaiona mkuu
 
Huo mshahara ulioukosa wa mwaka Jana lazma ujaze fomu ya areas hawalipagi bila vielelezo mkuu
Mm nimefanya kazi halmashauri miaka mingi naelewa mifumo
Officer utumishi aliniambia niandike barua ya kudai huo mshara,barua niliandika mpaka na barua ya kukumbushia lakini sikulipwa nikimfuata ofisini officer utumishi anasema wanashugulikia mpaka leo nikaamua nikae kimya,Sasa mwezi wanne Tena sijapata sababu sijui,ila kesho nitampigia simu ofisa utumishi nijue tatizo Nini tena
 
Hata mshahara sijapata ndo maana najiuliza imekuwaje
Ndugu yangu hebu tuliza mzuka kwanza. Hela si umepata? Umesahau kuwa kumekuwa na kipindi kirefu cha sikukuu? Nani yuko hazina(ofisini) tangu ijumaa hadi leo jumatatu kupost hizo salary slips? Nina uhakika ndani ya siku mbili baada ya sikukuu kwisha utaiona mkuu
 
Officer utumishi aliniambia niandike barua ya kudai huo mshara,barua niliandika mpaka na barua ya kukumbushia lakini sikulipwa nikimfuata ofisini officer utumishi anasema wanashugulikia mpaka leo nikaamua nikae kimya,Sasa mwezi wanne Tena sijapata sababu sijui,ila kesho nitampigia simu ofisa utumishi nijue tatizo Nini tena
Kwa mwez huu wengi wamekosa sio wewe tu inaonekana system ilikuwa down hope jnne mtapata
 
Back
Top Bottom