Msaada: Sioni kozi za diploma NACTE

maybe which course ulitaka kuhamia huko??????labda tunaweza kushauriana ndugu yangu
 
Ada labda nikupe namba ya kaka yangu kasomea kule anawza kukusaidia
 
mtu mwenye technician certificate ya miaka kama ipo katika mtindo wa NTA bas atakua anacheti cha NTA level 5 kwa hiyo atasoma NTA level 6 ambayo ni diploma hivyo atasoma mwaka mmoja mkuu nadhan umenielewa
Na mwalimu wa shule ya msingi ambaye amesoma grade A halafu akaenda kusoma certificate ya elimu maalum mwak mmoja anakuwa katika level gani kwa mfumo wa nta
clinical medicine

Wana Jf naomb mnifahamishe kw waliomb vyuo kupitia nacte km kuna aliyeona vyuo vya serikal ktk course ya uwalim aniambie me nmeviona vyuo vya private 2 wakat ktk guidbook vyuo vyote wamevionesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…