nimedelete apps kibao lakini bado inaonyesha internal memory is full
kudelete apps sio solution...hizo zitakuwa ni junk files, zimo zimekaba nafasi lkn huzioni....download app inaitwa "Clean Master", weee...hii kiboko. Icon yake ina kama kiufagio hivi kwahyo usije ukadownload tofauti.
nimedelete apps kibao lakini bado inaonyesha internal memory is full
Mkuu na mie simu yangu data zinawaka zenyewe. ..
Nimejaribu kudownload apps za kuzima data lakini bado tu.
Nifanye nini?
kudelete apps sio solution...hizo zitakuwa ni junk files, zimo zimekaba nafasi lkn huzioni....download app inaitwa "Clean Master", weee...hii kiboko. Icon yake ina kama kiufagio hivi kwahyo usije ukadownload tofauti.
nimedelete apps kibao lakini bado inaonyesha internal memory is full
Mimi hutumia mbinu ya kuunganisha kwenye PC kwa kutumia USB, halafu fungua utakuta folders na files nyingi sana ambazo hukuziweka wewe (junk files etc). Zifute zote utaona hata speed ya simu inakuwa nzuri na space ya kutosha.
Kama huna memory card..inabidi uwe nayo...kama unayo punguza vitu kama picha, video, musicno enough memory nimeshindwa kudownload master clean
Mkuu tatizo la hiyo simu sio ya ku-format...Basi i-format.
Kama imefika hatua hio no way out zaid ya kuiformat
Hebu sema jina na model ya simu mkuu upewe tiba kulingana na mlengwa mwenye tatizo, usije pewa tiba kubwa kumbe tatizo dogo.
nimedelete apps kibao lakini bado inaonyesha internal memory is full
no enough memory nimeshindwa kudownload master clean
Mkuu na mie simu yangu data zinawaka zenyewe. ..
Nimejaribu kudownload apps za kuzima data lakini bado tu.
Nifanye nini?