timothy harun
New Member
- Jul 12, 2017
- 3
- 0
Nimekua nikihangaika sana wakati ninapotaka kubadilisha laini za mitandao mingine kwenye simu yangu upande wa sim1, kila nikiweka huwa kuna maneno yanayojitokeza kama hivi " SIM1:unlock network PIN" ila kwa sim2 hakuna tatizo huwa naweka laini yeyote tu!
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app