Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Wakuu, nina smartphone yangu aina ya fotola nimenunua kwenye promosheni, nimetumia siku tano tu imezima ghafla haijawaka tena mpaka leo nimepeleka kwa mafundi wanadai hawaoni tatizo.
Msaada wadau
Msaada wadau