Msaada simu ya samsung s3 mini kujiwasha data

Msaada simu ya samsung s3 mini kujiwasha data

Mtatap

Senior Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
158
Reaction score
17
Wakuu naomba kusaidiwa njia ya kureset simu ya samsumg inajiwasha data,inastak na kuchemka natanguliza shukran.
 
Mkuu hiyoo simu umenunua hivi karibuni.....?

Na kama umenunua hivo karibuni basi umenunua kw mtu....!!!
Na kama umenunua kwa mtu baasi hiyo simu ni ya wizi mkuu... And ilishakuwa rooted...
Kwann nimeongea hivi....

Mm niliroot simu yangu s4..
Kwa ajili ya usalama wa simu na kuweka baadhi apps... Ambazo nilizitaka mm..

Lakini siku moja nilibadilisha line na kuweka line nyingine.... WIFI, DATA, NA GPS ilikuwa inajiwasha yenyewe hata nikizima hivo vinajiwasha tena baada ya dakika kadha..

Na inapo jiwasha kumbe bi mkubwa (mother) kuna sms anapata kuwa simu yangu imeibiwa na wanapata number iliyowekwa kwenye hiyo simu maana while naset ile ant theft niliweka number ya mama angu na cousin wangu naye ishi naye nyumbani... Lakini mm nilishasahau kuwa niliset hivo.. Na wakinipigia mm sipatikani maana niliweka lini nyingine kuna mtu alikuwa anitumie hela kwenye line hiyo ya voda.. Ambayo huwa siitumii... Basi wakajua nimeibiwa

"mkuu kama umeuziwa kitaa utakamatwa aise..
Ila kama ni yako/ ambayo unatumia muda mrefu basi wataalamu watakusaidia. "
 
Mkuu hiyoo simu umenunua hivi karibuni.....?

Na kama umenunua hivo karibuni basi umenunua kw mtu....!!!
Na kama umenunua kwa mtu baasi hiyo simu ni ya wizi mkuu... And ilishakuwa rooted...
Kwann nimeongea hivi....

Mm niliroot simu yangu s4..
Kwa ajili ya usalama wa simu na kuweka baadhi apps... Ambazo nilizitaka mm..

Lakini siku moja nilibadilisha line na kuweka line nyingine.... WIFI, DATA, NA GPS ilikuwa inajiwasha yenyewe hata nikizima hivo vinajiwasha tena baada ya dakika kadha..

Na inapo jiwasha kumbe bi mkubwa (mother) kuna sms anapata kuwa simu yangu imeibiwa na wanapata number iliyowekwa kwenye hiyo simu maana while naset ile ant theft niliweka number ya mama angu na cousin wangu naye ishi naye nyumbani... Lakini mm nilishasahau kuwa niliset hivo.. Na wakinipigia mm sipatikani maana niliweka lini nyingine kuna mtu alikuwa anitumie hela kwenye line hiyo ya voda.. Ambayo huwa siitumii... Basi wakajua nimeibiwa

"mkuu kama umeuziwa kitaa utakamatwa aise..
Ila kama ni yako/ ambayo unatumia muda mrefu basi wataalamu watakusaidia. "

Mkuu ulitumia process gani kuroot..na ni apps gani za antitheft ulinstall
 
Mkuu ulitumia process gani kuroot..na ni apps gani za antitheft ulinstall

Mkuu kuna uzi ali post hapa.... @Njuwamavoko
kcamp SALOK kuhusu hii kitu ya rooting... Na nilifuata maelezo yale yale na nikafanikiwa.....
Ngoja niipaste kama ilivyo ili iwe rahisi kwenye maelezo... Nisije kuchanganya mafile mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Search huu uzi wa Njunwa Wamavoko
Kwenye search type " Android Phone without ROOT ACESS is like an
African woman not bearing children"
Ni uzi wa mwaka 2014 lakini am sure itakusaidi... Fuata hayo maelezo vizuri huwezi kushindwa...
 
Last edited by a moderator:
Search huu uzi wa Njunwa Wamavoko
Kwenye search type " Android Phone without ROOT ACESS is like an
African woman not bearing children"
Ni uzi wa mwaka 2014 lakini am sure itakusaidi... Fuata hayo maelezo vizuri huwezi kushindwa...

Nimeupata mkuu ngoja niufanyie kazi..shukran
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom