Msaada: Simu ya Samsung inachemka sana hadi vidole vinapata shoti

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,683
106,798
Habari GTs wa JF
Natumia simu aina ya
Samsung Galaxy S4 GT 19500, Android version 4.4.2.
Simu yangu hii imekua ina tatizo ambalo limekua linanisumbua sana, hua inachemka sana kiasi kwamba mpaka nikiishika nasikia vidole vinapigwa mishalempaka muda huu naandika nipo nasikia hiyo mishale kama shoti flani hivi.
Pia hata nikiichaji up to full nikianza kuitumia haizidi 1HR inakula chaji sana.


Naombeni mnishauri ndugu zangu nifanyeje ili kuondoa hilo tatizo.
Ahsanteni.


☆☆☆☆☆☆☆☆
 
Habari GTs wa JF
Natumia simu aina ya
Samsung Galaxy S4 GT 19500, Android version 4.4.2.
Simu yangu hii imekua ina tatizo ambalo limekua linanisumbua sana, hua inachemka sana kiasi kwamba mpaka nikiishika nasikia vidole vinapigwa mishalempaka muda huu naandika nipo nasikia hiyo mishale kama shoti flani hivi.
Pia hata nikiichaji up to full nikianza kuitumia haizidi 1HR inakula chaji sana.

Naombeni mnishauri ndugu zangu nifanyeje ili kuondoa hilo tatizo.
Ahsanteni.


☆☆☆☆☆Mondraymondray☆☆☆
Hivi wewe taarifa ya simu zenye itirafu za betri za Samsung haukusikia eti??
Kuwa makini itakulipukia hiyo.
 
Mnakufa na tai shingoni!!!!! Kitu Infinix unakula mavitu % ya charge haishuki mpaka unashtuka ila ndyo hivyo mgao wa umeme hautuhusu labda majiran wetu samsung.
 
Mnakufa na tai shingoni!!!!! Kitu Infinix unakula mavitu % ya charge haishuki mpaka unashtuka ila ndyo hivyo mgao wa umeme hautuhusu labda majiran wetu samsung.
Nimeona Infinix hot 3 inajitahidi sana kwenye kukaa na chaji. Hiyo yako ni ipi?
 
Mnakufa na tai shingoni!!!!! Kitu Infinix unakula mavitu % ya charge haishuki mpaka unashtuka ila ndyo hivyo mgao wa umeme hautuhusu labda majiran wetu samsung.
tafuta simu yenye snapdragon 625 yenye same battery kama hio infinix then pima ukaaji chaji,

sitashangaa hata j7 2016 yenye 3300mah ikiipita hio,

una screenshot ya setting halafu battery? itume hapa.
 
Kuna application unaziacha bila kulog out. Nenda kwenye setting, fungua application, nenda page ya pili kwenye "running" . stopisha app zote zinazorun muda wote.

Nb. Unapofungua app ukimaliza log out au exit hiyo app vinginevyo itabakia inatembea-- itakula battery na mb, simu lazima ichemke kwani inakuwa overloaded
 
Knox inayo, sijui ku root na Custom rom sijui kuweka.

MODEL NUMBER GT 19500
knox inaweza sababisha kuheat, kuisha charge, ni model gani? Hakuna update yoyote ueke? Pia unaweza kuhitajika kuiflash na custom rom kwanza kabla hujajaribu fundi.
 
1490298448937.png
Wakuu mimi yangu ni kama ya mleta mada ila yangu inaniandikia hayo maneno hapo juu kabisa na baada ya hapo haiingizi moto tena kama ipo kwenye charge,shida itakuwa ni ninii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom