Msaada simu ya kununua!

Msaada simu ya kununua!

Mnyaluhala.

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
1,430
Reaction score
1,787
Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya wastani lakini ikiwa bei kubwa si mbaya! Nimeangalia kwa wauzaji wengi naona zinanichanganya simu aina moja bei tofauti tofauti!
 
Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya wastani lakini ikiwa bei kubwa si mbaya! Nimeangalia kwa wauzaji wengi naona zinanichanganya simu aina moja bei tofauti tofauti!

Nunua HTC 8x au Nokia Lumia 720

HTC mkuu, usipimie!
 
Mkuu, HTC sijawahi kuitumia ila niliona matangazo yake tu, kwanini umesema haimfai?

Mkuu umenielewa tofauti, yaani napendekeza anunue HTC hakika hatajutia! hicho kitu ni balaa!

nb:
make sure is made in USA! ukiwasha tu inatkuambia made in USA!
 
Mkuu umenielewa tofauti, yaani napendekeza anunue HTC hakika hatajutia! hicho kitu ni balaa!

nb:
make sure is made in USA! ukiwasha tu inatkuambia made in USA!

Anhaa, samahan sana. Kumbe umeandika USIPIMIE, nilisoma haraka, samahani sana. Ila hii HTC 8X ushawahi kuitumia?
 
mkuu maneno ya kitaa hapo ameikubali htc na si kwamba kaikataa

Asante kwa kunijuza ila tatizo nilisoma haraka haraka. Anyway, kati ya Nokia Lumia 720 na HTC 8X we unaikubali ipi Mkuu Chief?
 
mkuu na assume unataka simu za around laki 5 hadi 6 (midrange) kama sio utanambia

kwa android anayekidhi hivyo vigezo ni samsung pekee(nipo open ukitaka kunipinga) na simu ninayoifikiria kwa haraka ni galaxy s II plus na galaxy grand hizi simu zinafanana specs kasoro kioo sii ni 4.3 inch (kidogo) na grand ni 5inch (kikubwa)

GALAXY SII PLUS and grand

-kwa camera zina 8mp camera ya nyuma na 2mp camera ya mbele
-speed ya internet zote ni 21mbps
-apps utatumia zote za android
-chaji sii na grand zimeperform ifuatavyo

gsmarena_002.jpg


gsmarena_002.jpg


kwa hio ukiangalia hapo sii plus ni nzuri kuplay video na imeishinda grand, lakini grand ni nzuri kwenye kuongea na kubrowse internet.

pia kuna option nyengine kutoka windows phone hii ni nokia lumia 720 bei zinafanana na hizo hapo juu
-camera hii simu ina 6mp na ya mbele 1.2 lakini ndio best kuliko midrange zote
-speed ni kama wenzake 21 mbps
-apps hapa ni chache kucompare na android
-battery ipo ya kutosha angalia score yake
gsmarena_002.jpg


battery yake ni nzuri kwenye kuongea, na kubrowse net ila sio sana kwenye kuplay video.
 
Asante kwa kunijuza ila tatizo nilisoma haraka haraka. Anyway, kati ya Nokia Lumia 720 na HTC 8X we unaikubali ipi Mkuu Chief?
mkuu htc 8x lumia 720 zipo category tofauti, htc 8x ni flagship ya htc kwenye windows phone na inauzwa bei kubwa ina specs kubwa pia wakati lumia 720 ni midrange inauzwa bei ndogo.

kama unakuta sehemu bei zinafanana better nunua htc 8x
 
Wkubwa nashukuru nimepata elimu ya kutosha sana juu ya hizi simu. pesa yangu ni laki tano mpaka sita naweza toa. Je naweza kugundua vipi kama ni simu feki kabla sijaichukua.
 
Mkuu umenielewa tofauti, yaani napendekeza anunue HTC hakika hatajutia! hicho kitu ni balaa!

nb:
make sure is made in USA! ukiwasha tu inatkuambia made in USA!

mkuu Unahabar Kua HTC Ni Kampuni Ya wachina???
 
Wkubwa nashukuru nimepata elimu ya kutosha sana juu ya hizi simu. pesa yangu ni laki tano mpaka sita naweza toa. Je naweza kugundua vipi kama ni simu feki kabla sijaichukua.

Mi nakushauri nenda Posta Mkuu, mi simu zangu zote nimenunua pale na sijawahi kupata tatizo lolote mpaka hivi sasa. Sasa hivi natumia Nokia 311.
 
mkuu htc 8x lumia 720 zipo category tofauti, htc 8x ni flagship ya htc kwenye windows phone na inauzwa bei kubwa ina specs kubwa pia wakati lumia 720 ni midrange inauzwa bei ndogo.

kama unakuta sehemu bei zinafanana better nunua htc 8x

Ila hii Lumia 720 wanaisifia sana ktk chaji, kwani hii HTC kwenye chaji ipoje mkuu?
 
Back
Top Bottom