Msaada: Simu nzuri kwa bajeti ya laki 7-8

Msaada: Simu nzuri kwa bajeti ya laki 7-8

steven13

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
349
Reaction score
189
Wasalaam

Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa?

NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya kazi zangu.

MREJESHO

nashukuru kwa ushauri wa ombi langu apo juu,nimeamua kununua samsung s8 second hand ila iliyo renovated/decorated(yenye muonekano mzuri kabisa).Naomba kwa anayeuza au anayeweza nsaidia wapi pakuipata ani PM au anichek 0767833496
 
Ache
Wasalaam

Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa?

NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya kazi zangu.
Acheni ulimbukeni na ushamba! utakuwa unaingiza shs ngapi kwenye hio simu au ni kujionyesha tu kwa wenzako!!!

bill gates and googles.jpg
bill gates and googles.jpg
 
Hiyo hela ni ya tecno.iphone huwezi wewe na vihela vyako vya nyanya
dah kuna watu mnaponda ata ukiona mtu kanunua ndege mtasema iyo itamfia huko angani, sasa bro iphone nani kakuambia kwa hiyo laki saba hadi nane atashindwa kupata? Laki nane second hand anaweza pata hata iphone 7 rose gold, iphone six zenyewe sasa hivi zipo hadi za laki tano , anyways mtoa mada usinunue iphone utakua limited na vitu vingi iphone wanaipendwa tu status kwamba unamiliki iphone , wakati kuna simu kama samsung galaxy note 8 ambayo ni zaidi ya hiyo iphone seven na eight , iphone haina bluetooth, huwezi kudownload miziki au videos, ina limitations nyingi so bora utafute samsung s8 seconda hand zilizo refurbished hutojutia kuliko iphone ila sema tu iphone uzuri wake ni camera but still s8 is worth it..
 
dah kuna watu mnaponda ata ukiona mtu kanunua ndege mtasema iyo itamfia huko angani, sasa bro iphone nani kakuambia kwa hiyo laki saba hadi nane atashindwa kupata? Laki nane second hand anaweza pata hata iphone 7 rose gold, iphone six zenyewe sasa hivi zipo hadi za laki tano , anyways mtoa mada usinunue iphone utakua limited na vitu vingi iphone wanaipendwa tu status kwamba unamiliki iphone , wakati kuna simu kama samsung galaxy note 8 ambayo ni zaidi ya hiyo iphone seven na eight , iphone haina bluetooth, huwezi kudownload miziki au videos, ina limitations nyingi so bora utafute samsung s8 seconda hand zilizo refurbished hutojutia kuliko iphone ila sema tu iphone uzuri wake ni camera but still s8 is worth it..
Asante sana kaka,God bless you.Nakuja PM naomba msaada wako zaidi
 
kweli maisha yana utofauti sana,yani laki saba ambayo ni sawa na mshahara wa mtumishi wa umma wewe unaenda kununua simu?
 
dah kuna watu mnaponda ata ukiona mtu kanunua ndege mtasema iyo itamfia huko angani, sasa bro iphone nani kakuambia kwa hiyo laki saba hadi nane atashindwa kupata? Laki nane second hand anaweza pata hata iphone 7 rose gold, iphone six zenyewe sasa hivi zipo hadi za laki tano , anyways mtoa mada usinunue iphone utakua limited na vitu vingi iphone wanaipendwa tu status kwamba unamiliki iphone , wakati kuna simu kama samsung galaxy note 8 ambayo ni zaidi ya hiyo iphone seven na eight , iphone haina bluetooth, huwezi kudownload miziki au videos, ina limitations nyingi so bora utafute samsung s8 seconda hand zilizo refurbished hutojutia kuliko iphone ila sema tu iphone uzuri wake ni camera but still s8 is worth it..
Nakuomba PM mkuu,nimekutext
 
Back
Top Bottom