Pole Ndugu Uroto.
Najua huwa unatuma picha, audio na video kwa jamaa zako. Hizo picha, audio na video huhifadhiwa pia katika folder "sent" (Whatsapp>media>sent). Nenda katika folder hilo na futa hizo file
Kw Samsung almost zot ikiwa na tatz hlo ukiangalia hapo juu kushoto mw display yak utaona Kun notification imeandikw "storage full some functions can work slowly" click hiyo notfctn af italeta kwny Apps hapo utawez kuaUnistall apps ambz huziitaj
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.