emmylove45
Member
- Dec 2, 2016
- 38
- 6
- Thread starter
- #21
Nna mpango wa kubadlsha nkpata ela mana saivi sina vipi haiwez nizingua kabsaa I mn ikazma kabsaaBadilisha display, hakuna namna tofauti
Nna mpango wa kubadlsha nkpata ela mana saivi sina vipi haiwez nizingua kabsaa I mn ikazma kabsaaBadilisha display, hakuna namna tofauti
KUmenifurahisha sana.
screen imevuja na huwezi screenshot hiyo mistari ikatokea ni sawa sim iwe na crack kwenye kioo utengemee uki screenshot itaonekana kwenye picha.
Inategemea na athari iliyopata. Kama haijakaushwa kbisa, tegemea itazima kimojaNna mpango wa kubadlsha nkpata ela mana saivi sina vipi haiwez nizingua kabsaa I mn ikazma kabsaa
Kukaushwa kivipInategemea na athari iliyopata. Kama haijakaushwa kbisa, tegemea itazima kimoja
Sory nimechanganya na simu ya mteja hapa ameileta imedumbukia kwenye maji. Mawazo yote yalikua huko.Kukaushwa kivip
ahahahaha nimecheka sanaUmenifurahisha sana.
screen imevuja na huwezi screenshot hiyo mistari ikatokea ni sawa sim iwe na crack kwenye kioo utengemee uki screenshot itaonekana kwenye picha.
whatsapp yako nzuri kama wewe mwenyewe
Kumbe ww n fund uko mkoa ganSory nimechanganya na simu ya mteja hapa ameileta imedumbukia kwenye maji. Mawazo yote yalikua huko.
But kama utaitunza vizuri isipate mgandamizo itadumu kiasi. Ila jipange mapema, itaanza kuchemka kupita kiasi pia inaweza kupata tatizo la kustack
Sio mim uyowhatsa
whatsapp yako nzuri kama wewe mwenyewe

Niko kwa wababe wa nchi. Sasa unaingia TarimeKumbe ww n fund uko mkoa gan
Mbona umeshtukaMhhhhh![]()
![]()
![]()
![]()
Mbona saiv inabadlka rangi inakuwa ya pink na ukungu kwa nin?Niko kwa wababe wa nchi. Sasa unaingia Tarime
Ndio maana nikakwambia usiiamini sana. Izime uiache muda kidogo halafu washa tena. Wakayi umezima toa betriMbona saiv inabadlka rangi inakuwa ya pink na ukungu kwa nin?
Na kweli mistar haitoonekanaUmenifurahisha sana.
screen imevuja na huwezi screenshot hiyo mistari ikatokea ni sawa sim iwe na crack kwenye kioo utengemee uki screenshot itaonekana kwenye picha.
Si haba, unalipa.