KB THE DON
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 250
- 117
kuna option hapo ukiiconnect tu na pc, wewe weka option ya transfer filesHabari wanaJF natumia cm aina ya tecno cx (camon ) imefika muda inanikera kidogo
Tatizo lake ni kwamba haiconnect usb kwa pc nimejaribu kuipekua kwa kina nikaset usb debug on nkaset USB mulimedia transfer protocal akin bado ukichomeka kwa USB inacharge tuu basi bila kuleta option yoyote ya kukonnect
Mwanzo nilidhani usb yangu inatatzo nkabadilisha tatzo bado tuu nimejitahid sana kuset ila imenishinda
Naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa kutatua tatzo hili linaloninyima raha plse maana nashindwa kushare simu yangu na pc kwakutumia Usb cable
Jaribu Kwenye PC Nyingine Kushindwa ku connect kwenye PC kuna vitu 3 first ni hiyo USB ambayo wewe ni nzima Second charger connector ya simu Third ni Simu yenyewe kwa ndani. Kingine ambacho cha muhimu baada ya kuonekana kwenye PC ni Drivers za hiyo simuHabari wanaJF,
Natumia simu aina ya tecno CX (camon ) imefika muda inanikera kidogo
tatizo lake ni kwamba haiconnect USB kwa PC nimejaribu kuipekua kwa kina nikaset USB debug on nikaset USB mulimedia transfer protocal lakini bado ukichomeka kwa USB inacharge tuu basi bila kuleta option yoyote ya kukonnect.
Mwanzo nilidhani USB yangu inatatzo nikabadilisha tatizo bado tuu nimejitahidi sana kuset ila imenishinda.
Naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa kutatua tatizo hili linaloninyima raha please maana nashindwa kushare simu yangu na PC kwa kutumia USB cable.
Msikilize huyu hasa kama unatumia windows 8.1. Simu si tatizo kabisa tatizo ni driver za hiyo simu zinamiss kwenye pc yako. Open device and printer kwenye pc the troubleshoot icon ya usb ya simu yako ktk pc. Mihimu akikisha pc imeconectiwa na InternetKuna Driver Zime Miss Kwenye PC yako Tafuta Driver Za kusomea USB kulingana na model na aina ya PC yako ....Thanks
Hatariii sanaHizi tecno kumbe Majanga hivi duuh
Yeah mkuuHatariii sana
Oknjoo pm yangu nikuelekeze