Aspire R 11 Msaada ku connect wireless internet kwa kutumia simu (Samsung j7)

ContinousImprovement

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
290
268
Wakuu heshima kwenu.

Nimenunua laptop Acer Aspire R 11 ikiwa na window 10 installed. Tatizo nimeshindwa kuunganisha internet kwa kutumia simu yangu (hotspot) lakini nikiunga kwa wireless internet ya ofisini inakubali.

Pia nimejaribu kutumia usb lakini bado inakataa. Nimejaribu kufanya troubleshooting inaleta ujumbe dns might be unavailable.

Tafadhali nisaidieni. Kuna notes muhimu nitakiwa nizidownload.

Asanteni
 
hio laptop ni ya ofisi? labda internet yenu ya ofisini ina dns na laptop imesetiwa kuconect na hizo dns ndio maana kawaida inakataa
 
Laptop ni yangu na sio ya ofisini. Ni ya matumizi yangu binafsi.

usb tethering ilitakiwa ifanye kazi ila pengine huenda huna driver. tafuta source nyengine ya internet kama modem halafu download driver za usb ukishindwa download kies toka site ya samsung itaeka driver, ukishakuwa na driver za usb eka tena on usb tethering itakubali

kuhusu wifi nenda kwenye network halafu properties za wifi then properties za ipv4 utaona kuna ip na dns, kama zipo blank achana nazo kama kuna namba click obtain automatic zitaondoka halafu eka ok na ujaribu kuconect tena wifi
 
usb tethering ilitakiwa ifanye kazi ila pengine huenda huna driver. tafuta source nyengine ya internet kama modem halafu download driver za usb ukishindwa download kies toka site ya samsung itaeka driver, ukishakuwa na driver za usb eka tena on usb tethering itakubali

kuhusu wifi nenda kwenye network halafu properties za wifi then properties za ipv4 utaona kuna ip na dns, kama zipo blank achana nazo kama kuna namba click obtain automatic zitaondoka halafu eka ok na ujaribu kuconect tena wifi
Sawa Mkuu Asante sana
 
Hilo tatizo nimewahi kutana nalo
Sim inapata network vizur.but haitoa access ya network kwa njia ya tethering
Solution
Badili network settings kwenye sim yako kutoka default settings fanya kuwa manual
Instruction
Settings_mobile network_access point name_on top right corner click add_chaza hizo sehem mbili za kwanza yaani
Name-internet
Apn-internet_select option ma serve.
Then select hiyo access point name ya internet.
Then it will work
 
Hilo tatizo nimewahi kutana nalo
Sim inapata network vizur.but haitoa access ya network kwa njia ya tethering
Solution
Badili network settings kwenye sim yako kutoka default settings fanya kuwa manual
Instruction
Settings_mobile network_access point name_on top right corner click add_chaza hizo sehem mbili za kwanza yaani
Name-internet
Apn-internet_select option ma serve.
Then select hiyo access point name ya internet.
Then it will work
Ebhana hii nimefanya. Network inaconnect lakini nikijaribu kuingia net inaleta ujumbe server not found.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom