Msaada shule za private za gharama nafuu

Msaada shule za private za gharama nafuu

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Naomba kuulizia shule za private za gharama nafuu kbs hapa tz na gharama zake
 
Jaribu AlfaGems ya Morogoro mjini. Boarding ni sh. 850,000 inamilikiwa na kanisa katoliki na inafanya vizuri sana kwenye mitihani ya kitaifa. ipo kati ya stendi ya msamvu na uwanja wa nanenane.
 
Angalia na ufundishaji na sifa ya shule mwaego. Usijelipa ada yako na bado ukasota.unatafuta shule mkoa gan
 
Back
Top Bottom