Habar wanatech geeks msaada kwa anaefaham bei na wap ntapata kioo cha samsung galaxy s2 plus Original kwa bei nafuu!Simu yangu imevunjika kioo wino umevujia sion chochote kwa sasa!shukran
mm pia nina shida ya kioo cha s3 ambacho kwa bongo n 250000 bila ya fund hapo so ya kwako itazid laki moja hapo sijui kufika laki 2inaweza fika laki 2 mkuu???
Habar wanatech geeks msaada kwa anaefaham bei na wap ntapata kioo cha samsung galaxy s2 plus Original kwa bei nafuu!Simu yangu imevunjika kioo wino umevujia sion chochote kwa sasa!shukran
Hata msiumize sana vichwa wakuu.Mimi s4 yangu ilipasuka kioo nikaenda Samsung care nikaambiwa niwape 250000/=nikaona ujinga.ila nikaambiwa niende kariakoo mitaa Wa msimbaz kila kitu kitakuwa sawa niliambiwa na mshkaji wngu.nimeenda pale nimewekewa kioo kipya na Simu IPO safi kwa 45000/=.Nina mpaka namba ya huyo jamaa.maana ni fundi na ana duka la Simu.kama mpo dar nendeni hapo msimbaz mtatengenezewa cm zenu bila tatzo. Na juzi nimepeleka note gear ya mwanachuo ikawekewa kioo kipya.
ANGALIZO:Kuweni makini maana matapeli kibao.
Hata msiumize sana vichwa wakuu.Mimi s4 yangu ilipasuka kioo nikaenda Samsung care nikaambiwa niwape 250000/=nikaona ujinga.ila nikaambiwa niende kariakoo mitaa Wa msimbaz kila kitu kitakuwa sawa niliambiwa na mshkaji wngu.nimeenda pale nimewekewa kioo kipya na Simu IPO safi kwa 45000/=.Nina mpaka namba ya huyo jamaa.maana ni fundi na ana duka la Simu.kama mpo dar nendeni hapo msimbaz mtatengenezewa cm zenu bila tatzo. Na juzi nimepeleka note gear ya mwanachuo ikawekewa kioo kipya.
ANGALIZO:Kuweni makini maana matapeli kibao.
vp kaka..huawei p6 naweza pata housing la pemben au hata na mfuniko wa nyuma?Hata kwetu huduma hiyo tunatoa mitaa ya Aggrey0715378899
kioo cha s4 kwa 45?? tena kipya..hyo s4 yako original? kwa hali ya kawaida haiwezekan mana hyo s1 au s2 kioo chake tu hadi 160 .Leo kioo cha s4 kiwe 45 na ufundi juu...
Nimefurahi kusikia unabisha na Mimi nilitegemea.ila ungetaka kuproove Niko tayari kukuonesha Simu yangu nipo hapa mlimani,Maelezo mengi siwezi kuandika .
Hata msiumize sana vichwa wakuu.Mimi s4 yangu ilipasuka kioo nikaenda Samsung care nikaambiwa niwape 250000/=nikaona ujinga.ila nikaambiwa niende kariakoo mitaa Wa msimbaz kila kitu kitakuwa sawa niliambiwa na mshkaji wngu.nimeenda pale nimewekewa kioo kipya na Simu IPO safi kwa 45000/=.Nina mpaka namba ya huyo jamaa.maana ni fundi na ana duka la Simu.kama mpo dar nendeni hapo msimbaz mtatengenezewa cm zenu bila tatzo. Na juzi nimepeleka note gear ya mwanachuo ikawekewa kioo kipya.
ANGALIZO:Kuweni makini maana matapeli kibao.
Nimefurahi kusikia unabisha na Mimi nilitegemea.ila ungetaka kuproove Niko tayari kukuonesha Simu yangu nipo hapa mlimani,Maelezo mengi siwezi kuandika .
kioo cha s4 kwa 45000 hahahaha.uliwekewa kioo cha tft mkuu wala si gorilla
I buy dead phones.