Loveness James
Member
- Oct 4, 2016
- 23
- 2
Hello guys, nimechaguliwa saut main campus mwanza but ningekupenda anayoielewa anisaidie kunielezea mazingira yake yalivyo
Karibu.mimi nipo karibu na chuo na ninashughulika na biashara ya gas.najua utahitaji Gas,jiko kwa matumizi ya kupika.mazingira ni mazuri karibu sanaHello guys, nimechaguliwa saut main campus mwanza but ningekupenda anayoielewa anisaidie kunielezea mazingira yake yalivyo
Laki tatu kwa mwaka mzima wa masomo sio mweziSamahani laki tatu kwa mwezi au kwa mwaka
Ndio maji na umeme ni wa uhakika labda tanesco wawe na tatizo ndio umeme uwa unakatika vinginevyo vinapatikana kwa uhakika kwa chuo hostel na njeHope hostel za chuo maji na umeme ni 24hrs
saut wametoa majina yote kwa pamoja first and second roundhvi na majina ya second round yametolewa??
Self karbu na chuo ni kuanzia 400,000/=kwa mwaka na kuendeleaVepeee Kuna room self containing za kupanga karibu na chuo na ni bei gani kwa mwezi
Mkuu ni me ku PMSelf karbu na chuo ni kuanzia 400,000/=kwa mwaka na kuendelea
Kk nime ku PMLaki tatu kwa mwaka mzima wa masomo sio mwezi