chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 735
- 1,208
Hongereni kwa kazi! ndugu wajumbe ninakero ambayo imeendelea kunikera siku hadi siku.
Ni mtumiaji wa simu ya samsung na kwa kipindi hiki cha hivi karibuni kumejitokeza hali ya kuzuka kwa (ad's)sijui kama nitakuwa sahihi kwa kutumia jina hilo au nitumie neno matangazo wakati nikiwa naendelea kutumia huduma za internet(I stand to be corrected)
Hali hii imekuwa ni kero kubwa kwangu,yaani uko busy na kuangalia (jamiiforums) linakuja litangazo labda tuseme la mchezo wa karata au matangazo ya kubet na matangazo mengine mengi.
Naomba watundu wa simu wanielekeze ni wapi naweza fanya kitu nikaiyondoa hali hii ambayo kwangu imekuwa kero kubwa?!!!
Mbaka namaliza kuandika bandiko hili tayari kuna matangazo kama kumi hivi
Ni mtumiaji wa simu ya samsung na kwa kipindi hiki cha hivi karibuni kumejitokeza hali ya kuzuka kwa (ad's)sijui kama nitakuwa sahihi kwa kutumia jina hilo au nitumie neno matangazo wakati nikiwa naendelea kutumia huduma za internet(I stand to be corrected)
Hali hii imekuwa ni kero kubwa kwangu,yaani uko busy na kuangalia (jamiiforums) linakuja litangazo labda tuseme la mchezo wa karata au matangazo ya kubet na matangazo mengine mengi.
Naomba watundu wa simu wanielekeze ni wapi naweza fanya kitu nikaiyondoa hali hii ambayo kwangu imekuwa kero kubwa?!!!
Mbaka namaliza kuandika bandiko hili tayari kuna matangazo kama kumi hivi