Mwl Mkwaya
Member
- May 20, 2011
- 68
- 7
Naomba msaada wa simple Research Proposal title hata kama mtu anayo na research kamili yake sio mbaya nipate muongozo ...BA Education
NB:I hate Copy and Paste
NB:I hate Copy and Paste
Sasa Mwl. Mkwaya ushasema simple research proposal sasa msaada wa nini tena? We mwal. wa nini kwani? Kwaya? Then hata kama mtu angetaka kukusaidia sasa proposal ihusu nini maana hujataja hata research area yako.
Mkuu katika Field ipi ili tuangalie jinsi ya kukusaidia, maana huonyeshi unataka katika nyanja gani hiyo Simple Research Proposal title ijikite. Niko tayari kukusaidia.Naomba msaada wa simple Research Proposal title hata kama mtu anayo na research kamili yake sio mbaya kimjinimjin...undergraduate!
Unasoma kozi gani? Ungependelea kutafiti kuhusiana na nini? Research Proposal Title ni nini? Una maana Research Title? Una muda gani wa kufanya hiyo research? Jieleze vizuri kama msomi...
Mkuu katika Field ipi ili tuangalie jinsi ya kukusaidia, maana huonyeshi unataka katika nyanja gani hiyo Simple Research Proposal title ijikite. Niko tayari kukusaidia.
Wewe kilaza ebu ongea na supervise uone mnaendaje, leo unanunua proposal, kazi utanunua, kutakuwa na productivity hapo? We kilaza utaweza kushindana na Wakenya kwenye labour ndani ya Jumuiya ya EA ebu acheni kutuhaibisha, kunjua msuli dogo usilete useule wako hapa. (Seule ni mvivumvivu kwa vocabulary ya JKT)
we mjita gani hata hujui unachosoma? aibu sana hata topic inakushinda/ OK LABDA INAWEZEKANA, hata hujui ni eneo gani ungetaka kutafiti?
Naomba msaada wa simple Research Proposal title hata kama mtu anayo na research kamili yake sio mbaya kimjinimjin...undergraduate!
Nimepeleka title kama 10 zote zinapanguliwa, ndo labda nauliza msaada walionitangua research imbayo easy to be done ambayo iwe relevant na jamii yoyote ya tanzania, mada yoyote inaruhusiwa..
Wewe kilaza ebu ongea na supervise uone mnaendaje, leo unanunua proposal, kazi utanunua, kutakuwa na productivity hapo? We kilaza utaweza kushindana na Wakenya kwenye labour ndani ya Jumuiya ya EA ebu acheni kutuhaibisha, kunjua msuli dogo usilete useule wako hapa. (Seule ni mvivumvivu kwa vocabulary ya JKT)
Nyingine hii: 'Challenges facing Secondary school teachers in performing their duties'. A case study of ............chagua shule yeyote ya sekondari.
Nimepeleka title kama 10 zote naambiwa zimewahi kufanywa! I just need suggestions on titles, ambayo itadeal na jamii..just title