Msaada range rover

Msaada range rover

Bin Chuma

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
313
Reaction score
247
Mwenye uzoefu wa magari aina ya range rover, naomba kujua matumizi ya mafuta, mfano lita 1 inakwenda kilomita ngapi?
 
5 mpka 7 inategemea na gari......
chkua tu gari hilo lko vry comfotable
 
Chukua tu kama mkwanja wa kudumu upo kwa ajili ya service na spear parts bila kusahau wese. Halafu kawaida ikizeeka au kama unataka kubadili gari huwa haiuziki kirahisi maana wenye hela wanataka mpya or almost new na mtu wa kipato cha kawaida hatakuwa na uwezo wa kulihudumia. Mwisho wa siku inabidi uwe unafuga sungura au sili ili uweze kuwalaza huko.
 
itategemea na idad ya pistons,range ya kisasa ni 8 cylinders v8 engine,hii kuimilik utakuwa huwez,labda kama unamilik shel kadhaa hapa mjin
 
Kwa nini usinunue baiskeli tu?

Huwa haitumii mafuta kabisa...
 
Mkuu wasikukatishe tamaa maana inaelekea untaka " kutoka" jijini.
Mimi nauza Land Cruiser VX LC100, ya 2001 bado mali nzuri kabisa.
Natafuta hela tu ya kujiandaa uchaguxi 2015.
Ulaji wa mafuta ni kawaida kwa engine ya 6 cylinder diesel na power iko kwa sana.
Ni mali nzuri niPM.
 
Mimi nauza Nissan Terrano R3mR, AT, Petrol. Hali mzuri sana, kama mpya. Fully Loaded.
 
Chukua nissan murano ndo gar nzur,bei ndogo mafuta reasonable
 
Mwenye kufikiria kununua range sidhani kama atauliza bei ya mafuta kwani you must be loaded to buy that kind so why ask
 
Acheni kumtisha mwenzenu. Ni gari zuri sana na lina heshima yake. Ulaji wa maguta sio mbaya sana. Kama una mizunguko ya kawaida kwa siku utatumia ka mafuta ya laki mbili hivi kwahyo sio mbaya kabisa
 
Chukua ata bajaji, inakula vizuri mafuta.
Lita 1, unapiga ruti hadi unachoka.
 
Kuna vitu haviendani kwa kweli.

Mfano kuulizia Range 'hivi haili mafuta eeh'

Huwezi pata performance of a big car kwa cost za boda. Tujifunze kukua kwanza halafu ndio tufanye mambo ya wakubwa.

BY the way hatujaachana sana. Mi nnaulizia bei zake zipoje hadi kuimiliki🤭?? Sh ngapi?
 
Kuna vitu haviendani kwa kweli.

Mfano kuulizia Range 'hivi haili mafuta eeh'

Huwezi pata performance of a big car kwa cost za boda. Tujifunze kukua kwanza halafu ndio tufanye mambo ya wakubwa.

BY the way hatujaachana sana. Mi nnaulizia bei zake zipoje hadi kuimiliki?? Sh ngapi?
Model gani?
 
Back
Top Bottom