Check Paper kama zipo..
Check Wino kama upo/umekaa vzr
Check kama kuna Paper ambayo imenasia..
Toa wino kisha urudishie..
Ikigoma toa huo wino weka mwingine na ongeza karatasi.
Kama tatzo bado..
Disconnect waya unaopeleka taarif ktk Pc.. Izime hiyo printer ktk ile powe button yake .. ya PSU then Shikilia Power button/RESET button kwa Dk 1/2 HOLD......
Washa.. chek tena
Then angalia kama inafany kaz