Msaada pls!

brownuli

Member
Joined
May 21, 2008
Posts
7
Reaction score
0
Nataka kununua computer ndogo yaani netbook ipi ni bora na pia naomba specifications.
Natanguliza shukrani.
 
HP, Dell and Samsung ni brand nzuri sana, aina inategemea na personal interest zako. Specs Hdd 200Gb+,Ram 2GB+,Processor Duocore +
 
Nataka kununua computer ndogo yaani netbook ipi ni bora na pia naomba specifications.
Natanguliza shukrani.

kwanza ukisema netbook una maana gani? Sometime netbook kwa tafsiri ya watu tofauti ina maana tofauti wengine wanasema netbook wakiwa na maana hata ya laptop. Lakini wengine netbook ni laptop yenye screen size isiyozidi 12" (12 inch). Kama unamaanisha netbook ukiwa na man ya screen size isizidi 12" endelea kusoma mchakato huu otherwise upotezee.............

uchaguzi wa netbook gani itakufaaa utategemea mambo kadhaa . Nitataja mawili.......

I. Bajeti
Kiasi gani cha pesa umetenga kwa ajili ya kununua netbook? Kama pesa si kikwazo kwako kuna netbook za $ 700 kama HP Mini 5103 na $409.99 kama ASus EEE PC 1215N lakini kama ni mtoto wa mkulima unaweza kugoogle kupata hata za $ 200 kushuka chini. Bajeti pia inaweza kukufanya ununue used( Ebay, Amazon)kwa bei nafuu but yenye nguvu zaidi au brand new lakini isiyo powerfull

II. Matumizi
Utaitumia kufanya shughuli gani?
Angalia kwenye kiunganisho hiki na kingne hiki kwa uchambuzi zaidi nilioupta kupitia google. Vile vile soma muongzo uliotolewa na BBC ambao unaweza kukup picha kamili ina ya netbook unayotakiwa kutafuta. Unaweza kusoma pia Nahitaji kununua laptop ni ipi bora? niliowai kubandika katika ka-gym kangu ka mazoezi. kuna stikcy thread nyingine hapo juu inaweza kukup mwogozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…