Msaada please

kidE Meshack

Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
92
Reaction score
7
Habariii wana JF,
Plz naomben mnisaidie Mawazo....coz nko na girl kwa miezi 6 sasa, tushajiwekea mipango kibao....lakini hivi karibuni mwenzangu anataka kuhamia upande wa pili wa Maisha...anataka kumrudia Mungu, so....akifanya hivo means mi na yeye ndo bhaaaaasi.... Kakomaa saaana bt mwsho wa siku memwambia Fanya unachoona kitakupa furaha....
Kwahiyo...., ili niendelee kua nae na mie niokoke?
Au nimuache aendelee na upande wa pili wa Maisha??
Ni kweli kama unaishi 'Holy Life' huwez kabisa shirki mapenz kwa namna moja au nyingne??

Naumia saana coz Nampenda, daah
#Mhanga ....
 
Kwani Mungu hataki mahusiano?

We sema tu itakuuma kunyimwa ile kitu yako unayoipenda hakuna kingine apo unachougulia.
Kwani kutokupata hio ndio unahisi hutaweza kumpenda tena ama?

You are sick of Tamaa I guese!!!!!!!

 
ungemuoa kabisa ili isiwe kikwazo. lakini jaribu kuchunguza ni kipi kilomfanya afanye uamuzi huo, pengine kuna jambo. Be care.
 
Kwani kuna kosa gani akiokoka huko watamwambia asizini kosa gani akiachana na uzinzi si raha kwako anakuwa wako peke yako.
.....Nakuhakikishia mtu aliyeokoka kwelikweli hawezi fanya zinaa nimekaa 20 yrs baada ya kuokoka sijafanya zinaa na wala hata kumtamani mwanamke....so mwache aokoke kama humtaki kwa vile ameokoka waachie waliokoka wenzie watamuoa wewe tafuta mpagani mwenzio mtaendana.
 
Wanawake wakitaka kukuhepa wanakuwa na vijisababu vingi sana ili tu aanze kuwa mbali na wewe na uzuri visababu vyao unaweza usishtuke kabisa mpaka wewe mwenyewe utakapokuja kuyashuhudia manyoya!! Na hapo ndipo utakapokuwa huwezi tena kumrudisha maana keshanogewa kwingine.

Wanawake bana! sijui wana ufutio kwenye brain zao akilala anakufuta faster asubuhi anakuona kama mgeni hahahaaaa!! Haka kastori changanya na za kwako kabla mwenzio hajatumia ufutio kichwani mwake maana sasa hivi ni kama analifuta jina lako nusu then analiandika tena anakaa nalo siku kadhaa anafuta tena kidogo then analirudisha sasa akilifuta lote imekula kwako
 

Kama hutaki alieokoka mbona ni rahisi sana si uende hata kwa mabamedi? Watu wengine bwana, mwanamke anataka kuwa mke mwema wewe hutaki kalagabaho
 
suluhuuuu ni wewe kumuoa kabisa huyu binti ili mpange vizuri mambo yenu... na ule chakula ya baba kwa amani bila shida
 
....lakini hivi karibuni mwenzangu anataka kuhamia upande wa pili wa Maisha...anataka kumrudia Mungu, so....akifanya hivo means mi na yeye ndo bhaaaaasi....

Wewe huamini katika Mungu?
 
Ndugu hapa duniani omba ushauri kila kitu utakachofanya ambacho huna uhakika nacho lakini kuna jambo 1 tuu hutakiwi kuomba ushauri kabisa utapoteza muda tuu.JAMBO LENYEWE NI KUMTUMIKIA MUNGU.
Utasoma comments zote jibu litakuwa moja mwisho wa siku kumtumikia Mungu,Na kuambia kama unampenda na utamwacha kwa vile yeye kaamua kumtumikia Mungu basi utateseka moyoni maisha sana.Tatizo wewe mimi hatujui kesho.
 

umenifanya nicheke kwa huo mfumo wako dah!...ahsante!
 
AKUFUKUZAE SIO LAZIMA AKWAMBIE TOKA!!!!!!!!!!!!! Anaweza tu kukutafutia vijisababu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…