msaada please

msaada please

Dit000

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
721
Reaction score
1,078
hivi formula ya kutumia kunywa maji kwa siku ni ipi?? kwa kuzingatia uzito,umri,urefu n.k
 
hivi formula ya kutumia kunywa maji kwa siku ni ipi?? kwa kuzingatia uzito,umri,urefu n.k
5/10 mls per kilo per hour. Mfano una kilo 60 kunyw glass moja ya mls 300-600 kwa kila saa. Unategemewa kutoa mkojo 1-2 mls per kilo per hour. Mfano ukiwa na kilo 60 kila saa utatoa 30-60 mls ya mkojo kila saa. Mwili unaweza kuhold mkojo mpaka masaa manne.
 
5/10 mls per kilo per hour. Mfano una kilo 60 kunyw glass moja ya mls 300-600 kwa kila saa. Unategemewa kutoa mkojo 1-2 mls per kilo per hour. Mfano ukiwa na kilo 60 kila saa utatoa 30-60 mls ya mkojo kila saa. Mwili unaweza kuhold mkojo mpaka masaa manne.
mkuu hiyo rate ni internation standard??

oky,
mi nakilo 70
0.5mls/kg hii ni rate kwa saa
0.5mls/kg x 70 =35mls kwa saa,
time interval ni kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa nne usiku = 17hrs
35mls x 17 hrs =595mls sawa na 0.6ltr
hesabu iko sawa??
mbona maji machache sanaa maana mi napiga 3lita kwa siku
 
5/10 mls per kilo per hour. Mfano una kilo 60 kunyw glass moja ya mls 300-600 kwa kila saa. Unategemewa kutoa mkojo 1-2 mls per kilo per hour. Mfano ukiwa na kilo 60 kila saa utatoa 30-60 mls ya mkojo kila saa. Mwili unaweza kuhold mkojo mpaka masaa manne.
Mleta mada fuata muongozo...
 
Back
Top Bottom