inatakiwa ufungue i cloud account ingine kwa aajili ya kudownload apk ambazo azipo nchuni kwetu, wakati unafungua location auweki Tanzania unajaza Usa ukimaliza utapata apk izo amabazo azipatikani uku
lakini skuiz tuna apple music nainapiga kazi bure uku man
Sent from my iPhone using JamiiForums