Msaada please wa forex imeleta hiv niende wapi

Sasa unaleta huku mambo ya Forex? Peleka jukwaa la biashara au ujasiriamali
 
Kama hiyo siyo demo account umeweka ela kweli na unashindwa hata pa kwenda je kutrade utaweza kweli au wataka kula loss mkuu.
Maana hata platform uenyewe ina maana huelewi inafanya kazi vipi hii ni sawa na kurusha shillingi juu ya tundu la choo
 
Kama hiyo siyo demo account umeweka ela kweli na unashindwa hata pa kwenda je kutrade utaweza kweli au wataka kula loss mkuu.
Maana hata platform uenyewe ina maana huelewi inafanya kazi vipi hii ni sawa na kurusha shillingi juu ya tundu la choo
hahahahaha we jamaa umenifuhisha sana
 
Kama hiyo siyo demo account umeweka ela kweli na unashindwa hata pa kwenda je kutrade utaweza kweli au wataka kula loss mkuu.
Maana hata platform uenyewe ina maana huelewi inafanya kazi vipi hii ni sawa na kurusha shillingi juu ya tundu la choo
Io hela ukifanikiwa kufungua account unapewa kama kianzio mkuu na nimefanikiwa Ku trade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…