Scam broker,hiyo bonus utaikuza hlf wanakufungia acc,tafuta hela na broker wa maana achana na bonus accounts rashidi.
hahahahaha we jamaa umenifuhisha sanaKama hiyo siyo demo account umeweka ela kweli na unashindwa hata pa kwenda je kutrade utaweza kweli au wataka kula loss mkuu.
Maana hata platform uenyewe ina maana huelewi inafanya kazi vipi hii ni sawa na kurusha shillingi juu ya tundu la choo
Io hela ukifanikiwa kufungua account unapewa kama kianzio mkuu na nimefanikiwa Ku tradeKama hiyo siyo demo account umeweka ela kweli na unashindwa hata pa kwenda je kutrade utaweza kweli au wataka kula loss mkuu.
Maana hata platform uenyewe ina maana huelewi inafanya kazi vipi hii ni sawa na kurusha shillingi juu ya tundu la choo
mkuu natamani sana kuku saidia ila naogopa kama kichwa yako isije kuwa panzi