Basi tugawane na mapato maana inawezekana umepata kazi ya kucheza na watoto wa kizungu. Au unafanya research ya child care!?
Kuwa muwazi mkuu tukusaidie
Mimi mwanangu wa pili ana miaka 5 lakini anafahamu kuitumia smartphone yangu kuliko hata mimi. Imenibidi kudown load folder la KEEP SAFE nahifadhi vitu vyangu humo isiwe tabu.
Kweli mkuu jana nilipita mahali nikaona kitenesi nikakumbuka miaka mingi sana nikasema kweli mambo yamebadilika maana hata kuoma watoto wanchezea kitenesi ni nadra sana
Nipo nje ya nchi nataka kufundisha wazungu michezo ya kufurahisha ya kitoto tuliyocheza zamani kama unajua mojawapo niwekee hapa tafadhali iwe ambayo inawezekana kuchezwa ndani ya ukumbi mimi nimeshasahau.
Mimi mwanangu wa pili ana miaka 5 lakini anafahamu kuitumia smartphone yangu kuliko hata mimi. Imenibidi kudown load folder la KEEP SAFE nahifadhi vitu vyangu humo isiwe tabu.
Jitahidi kumzuia kwani mionzinya hizi simu siyo nzuru sana kwa watoto especially kutumua ear phone zinaharibu masikio na mtoto anaweza hata akawa kiziwi.