Wakuu poleni na majukumu.
Jana nilikuwa Muhimbili Hospital na kati ya dawa nilizoandikiwa ni BACLOFEN ambay niliambiwa inapatikana Kariakoo kwenye Pharmacy kubwa. Bahati mbaya sikufanikiwa kuzipata licha ya kupita kwenye maduka makubwa kama viloe J.D Pharmacy na kwingineko.
Naomba msaada anayejua wapi naweza kupata dawa hizi. Ikiwa wanatumia NHIF itakuwa vizuri zaidi
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Jana nilikuwa Muhimbili Hospital na kati ya dawa nilizoandikiwa ni BACLOFEN ambay niliambiwa inapatikana Kariakoo kwenye Pharmacy kubwa. Bahati mbaya sikufanikiwa kuzipata licha ya kupita kwenye maduka makubwa kama viloe J.D Pharmacy na kwingineko.
Naomba msaada anayejua wapi naweza kupata dawa hizi. Ikiwa wanatumia NHIF itakuwa vizuri zaidi
Natanguliza shukrani zangu za dhati