Jaribu Habib Bank kariakoo DSM unaweza kufanikiwaHello jf naomba kuuliza kama dirham ya Morocco ina badilishwa Tanzania niko Zanzibar
Yani atoke kote huko Zenji aaende kariako kubadilisha iyo dirham?Jaribu Habib Bank kariakoo DSM unaweza kufanikiwa
Huyo Mkuu Anauliza Sababu Akifika Bureau De ChangeNenda main branch ya benki kati ya hizi hiyo huduma utaikuta
NMB,CRDB AU NBC
Huyo Mkuu Anauliza Sababu Akifika Bureau De ChangeNenda main branch ya benki kati ya hizi hiyo huduma utaikuta
NMB,CRDB AU NBC
Zanzibar hakuna kariakooYani atoke kote huko Zenji aaende kariako kubadilisha iyo dirham
😀😄😃🤣😁Yani atoke kote huko Zenji aaende kariako kubadilisha iyo dirham
Ndio, inabadilishwaHello JF,
Naomba kuuliza kama Dirham ya Morocco inabadilishwa Tanzania, niko Zanzibar.
Jaribu Habib Bank kariakoo DSM unaweza kufanikiwa
Mpaka 250Tsh Umekosea Ama!! Samahani LakiniNdio, inabadilishwa
Kuna Mshkaji wetu mmoja Mmorocco ila anaishi Switzeland ni Mountain Climber (Alpinist) alikuja kupanda Mt. KLM na alikuwa na Dirham za Morocco akiwa Arusha na alikuwa anachange kawaida
1Dirham inaenda mpaka 250Tsh
😅😀😄😄1. Kama anazo nyingi it worth it kwa sababu benki nyingi tz au bureau de change hawabadilishi dirham ya Morocco.
2. Zanzibar na Dar sio mbali though.
3. Nina experience na Habib Bank nilishawahi kubadilisha dinar ya za Tunisia mwaka 2013 so obviously hata Dirham ya Morroco anaweza kubadilishiwa.
# kutoka zenji hadi Dar inaweza kuwa mbali lakini kwa hela karibu
Afishafika watampa msaada wa kila namna katika kutatua shida zakeHuyo Mkuu Anauliza Sababu Akifika Bureau De Change
Ule Ubao Wao Huoni Baadhi Fedha Kuuza/Kununua
I Dirham = 245 mpk 250 TshMpaka 250Tsh Umekosea Ama!! Samahani Lakini