Msaada,pc yangu imezima

Msaada,pc yangu imezima

da viper

Senior Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
158
Reaction score
43
Pc yangu imezima muda sasa na haitak kuwaka,ukiwasha button inarun kma inataka kuwaka na mgurumo wa fan lakin haidisplay chochote sijajua tatizo ni nn licha ya kuifungua na kuisafisha plus kutoa moto kwenye ram na kufungua hdd
Kma kuna wataalamu au mafundi wa hili tatizo naombeni msaada
Ni hp core i3
 
Je kuna beep sounds unazisikia inapowaka, je ikiwaka zile taa kwenye button ya kuwashia zina rangi gani, je unapata meseji gani kwenye screen yako
 
Je kuna beep sounds unazisikia inapowaka, je ikiwaka zile taa kwenye button ya kuwashia zina rangi gani, je unapata meseji gani kwenye screen yako
Nop,nasikia feni ikiunguruma tu,kwenye screen no display mwanzon ikizingua naifungua na kubonyeza power button for sec baada ya kutoa ram na hhd then inawaka,saa hv haijawka tena
 
Pc yangu imezima muda sasa na haitak kuwaka,ukiwasha button inarun kma inataka kuwaka na mgurumo wa fan lakin haidisplay chochote sijajua tatizo ni nn licha ya kuifungua na kuisafisha plus kutoa moto kwenye ram na kufungua hdd
Kma kuna wataalamu au mafundi wa hili tatizo naombeni msaada
Ni hp core i3
Hp aina gani......sometimes huwa ni graphic driver zimemiss so pc utaona inawaka lakini haioneshi kitu kwenye kioo......kujihakikishia hilo tafuta external monitor unganisha hafu cheki kama haidisplay na huko
 
Pc yangu imezima muda sasa na haitak kuwaka,ukiwasha button inarun kma inataka kuwaka na mgurumo wa fan lakin haidisplay chochote sijajua tatizo ni nn licha ya kuifungua na kuisafisha plus kutoa moto kwenye ram na kufungua hdd
Kma kuna wataalamu au mafundi wa hili tatizo naombeni msaada
Ni hp core i3
Unapatikana wapi?
 
Hp aina gani......sometimes huwa ni graphic driver zimemiss so pc utaona inawaka lakini haioneshi kitu kwenye kioo......kujihakikishia hilo tafuta external monitor unganisha hafu cheki kama haidisplay na huko
Ok,ngoja ntajaribu hyo maana kuna wakat hta kuwaka hivo ilikua shida
 
Sasa jaribu hii:
- Chomoa Battery kubwa, chomoa adapter
- Fungua chomoa cmos battery kama inachomoka, wakati umeitoa hold button ya power kwa muda kama sekunde 15.
- Kama cmos battery haichomoki, short kwa waya ikiwa hapo hapo kwenye board

Rudishia battery na ujaribu kuwasha
 
Nilishajaribu yote hayo na bado tatizo limejirudia lile lile
 
kama screen haionyeshi kitu kabisa lakini muungurumo wa fan unasikika possible problemyaweza kuwa ni
graphics card ya hiyo machine imezingu nenda kwa fundi aipige moto graphics card (blower) au abadilishe kabisa
 
kama screen haionyeshi kitu kabisa lakini muungurumo wa fan unasikika possible problemyaweza kuwa ni
graphics card ya hiyo machine imezingu nenda kwa fundi aipige moto graphics card (blower) au abadilishe kabisa
Asante sana,gharama ya hyo graphics card inaweza kuwa sh ngapi?
 
Asante sana,gharama ya hyo graphics card inaweza kuwa sh ngapi?
kupata graphics card equivalent itakuwa changamoto kidogo
nenda kwa fundi mwambie aipige blower then kama mashine itaonyesha hapo ndo tutaanza kutafutu hiyo graphics card
fundi akiipiga blower itafanya kazi kwa mda mfupi the tena itakuwa haifanyi mpaka ubadilishe
 
Na mimi PC yangu HP imezima ghafla ila antivirus yake ilikuwa ime expire lakini dogo akaendelea kuitumia ivyo ivyo for a year then ikazima ghafla...ukijaribu kuiwasha huku umeshikilia button ile taa inawaka kama endiketa ya gari mweku mweku halafu inasizi..msaada plz
 
Na mimi PC yangu HP imezima ghafla ila antivirus yake ilikuwa ime expire lakini dogo akaendelea kuitumia ivyo ivyo for a year then ikazima ghafla...ukijaribu kuiwasha huku umeshikilia button ile taa inawaka kama endiketa ya gari mweku mweku halafu inasizi..msaada plz

Angalia kama adapter unayotumia ni ya hiyo laptop. Soma rating kwenye sticka chini ya laptop na ulinganishe na rating za kwenye adapter (Voltage na Current)
 
Angalia kama adapter unayotumia ni ya hiyo laptop. Soma rating kwenye sticka chini ya laptop na ulinganishe na rating za kwenye adapter (Voltage na Current)
Shukrani nitafanya ivyo mkuu
 
Nikisoma thread yako nakumbuka pc yangu ilikuwa na tatizo kama lako lakini sikupata fundi wa kuitengeneza vizuri waliharibu zaidi pole hp zina matatizo hayo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom