Msaada: Pc inajizima na kujiwasha

Msaada: Pc inajizima na kujiwasha

luqman luqman

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
850
Reaction score
1,403
Habari wakuu..
Laptop yangu acer aspire, nikiiwasha, kabla window haija start up inafanya kama ina loose moto hivi, inajizima then inawaka tena yenyewe. Inaweza kufanya hvyo mara kadhaa then ndio inawaka moja kwa moja ila baada ya hapo inapiga kazi vizuri.
Natumia windows 7 Professional.
Kwa anaefahamu anisaidie maana ni kero.
Wassalaam.
 
Habari wakuu..
Laptop yangu acer aspire, nikiiwasha, kabla window haija start up inafanya kama ina loose moto hivi, inajizima then inawaka tena yenyewe. Inaweza kufanya hvyo mara kadhaa then ndio inawaka moja kwa moja ila baada ya hapo inapiga kazi vizuri.
Natumia windows 7 Professional.
Kwa anaefahamu anisaidie maana ni kero.o
Wassalaam.
possible problem inaweza kuwa ni temperature
fanya kuweka upya thermal compound pale kwenye cpu
au hizo diode na smd capacitor au chip zilizo karibu na cpu zina terminate power
fanya upeleke kwa fundi akajaribu kuweka thermal paste kwanza
 
possible problem inaweza kuwa ni temperature
fanya kuweka upya thermal compound pale kwenye cpu
au hizo diode na smd capacitor au chip zilizo karibu na cpu zina terminate power
fanya upeleke kwa fundi akajaribu kuweka thermal paste kwanza

Sawa mkuu shukran
 
Back
Top Bottom